Uislamu nchini Madagascar

Msikiti mkuu mjini Antananarivo.
Uislamu kwa nchi

Uislamu umeanzishwa vyema katika nchi ya leo ijulikanayo kama Madagaska. Kwa karne na karne na leo hadi leo hii Waislamu nchini humo wanawakilisha karibia asilimia 7 ya jumla ya wakazi wote wa nchini humo.[1]

Karibia Waislamu wote wa Madagascar wanafuata dhehebu la Sunni katika mafundisho ya [Imamu]] Shafi, huku kukiwa na idadi ndogo ya wafuasi wa Ahmadiyya ambao walianza kuingia kwenye miaka ya 1980.[2]

  1. "The World Factbook - Madagascar". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-08-25. Iliwekwa mnamo 2016-05-10. 
  2. Ahmadiyya Muslim Mosques around the world. uk. 76.  Check date values in: |accessdate= (help);

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search